DashSync

Mwanamuziki maarufu, Yvonne Darcq, arejea kwa vishindo

- Mwanamuzi maarufu,Yvonne Darcq amerejea kwa vishindo baada ya mapumziko kwa kuzindua wimbo mtamu

- Yvonne ni mwanamuziki mkenya ambaye pia ameishi Sudan Kusini,Congo ,Rwanda na Ubeljiji

Mwanamuziki maarufu Yvonne Darcq bado anavuma licha yake kujipatia likizo kwa muda katika uimbaji na amerejea kwa vishindo.

Habari Nyingine: Jaji ajiondoa kwenye kesi ya NASA dhidi ya IEBC kwa sababu ya uhusuiano wake nao

Habari Nyingine: Mwanamuziki DNA amebarikiwa na mke na watoto warembo kweli (picha)

Yvonne ametoa kanda mpya ambayo tayari imepata umaarufu siku chache baada ya kuuzinduliwa.

Mwanamuziki huyo alizindua wimbo huo Julai 17, katika mkahawa wa Onyx ambapo aliwaalika wafuasi wake wachache kuhudhuria sherehe hiyo.

Yvonne hajakuwa akiimba kwa muda sasa lakini wimbo wake wa 'Fearless' tayari unavuma.

Wafuasi wake walimpa pongezi kwa bidii yake akiwemo ,Chiki Kuruka.

"Hii ndiyo aina ya miziki ambayo Wakenya wanapaswa kuimba, pongezi sana mrembo kwa kazi nzuri, "Chiki alisema.

Tazama video

Subscribe to watch new videos

Read ENGLISH VERSION

Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe?Tuma ujumbe kwa mhariri:mwangi.muraguri@tuko.co.ke

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdiaYRxg5VmpLCZnpa6tsbIpKBmpZGWv7ay1Gawr6eeo7JusMCrmqplkaeyq7HAZqKwmV2rtrS0yKebqGaYqbqt

Jenniffer Sheldon

Update: 2024-10-01